KUAJIRIWA NDIO KUFANIKIWA??

Mafanikio yanakuja kwa jinsi ulivyojiweka iwe umeajiriwa au umejiajiri
jiulize.....je unajituma?
Unatenda kazi kwa kujituma?
Uandike umefanya nini na umefika wapi kuthibitisha maendeleo yako na umefika wapi kimaisha
Hata kama umeajiriwa kuongeza ujuzi , kutafuta kashughuli cha pembeni
Usiwaze kwamba kujiajiri ndio mwisho wa safari uwe na aibu
ukiona haiwezekani ,
Usiogope kuajiariwa
Comments
Post a Comment