Idadi ya waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi nchini Mexico imefikia 61 inasema serikali.
Shughuli za uokoaji zinaendelea katika majimbo ya Tabasco, Oaxaca na Chiapas yalioathiriwa zaidi.
Rais Enrique Peña Nieto anasema karibu wato 200 wamejeruhiwa kwenye tetemeko hilo la nguvu ya 8.1 katika vipimo vya ritcher.
Shughuli za uokoaji zinaendelea katika majimbo ya Tabasco, Oaxaca na Chiapas yalioathiriwa zaidi.
Rais Enrique Peña Nieto anasema karibu wato 200 wamejeruhiwa kwenye tetemeko hilo la nguvu ya 8.1 katika vipimo vya ritcher.


Comments
Post a Comment