TUNDU LISSU APEWA MWALIKO WA MKUTANO MAREKANI




Mbunge wa singida Mashariki na mwanasheria mkuu wachama cha chadema 
Tungu lissu amepata mwaliko wa mkutano wa Mawakili Bigwa wa Sheria  nchini 
Marekani utakaofanyika katika jiji la washingtoni DC siku ya ya ijumaa ya tarehe
 15/09/2017

Tundu Lissu ndiye mwafrika pekee aliyepata mwaliko katika bara la afrika katika mkutano huo.

Comments